Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Tuesday, January 18, 2011

Jeshi la Zanzibar linatia aibu au ndivyo inavyopaswa?


Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji, wakipita kwa heshima mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi (SMZ), Dk. Ali Mohammed Shein, wakati wa maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Amaan, Unguja. (Picha na Haroub Hussein).

No comments:

Post a Comment