Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Saturday, April 9, 2011

CCM YAIVURUGA CHADEMA MKOA WA MBEYA


Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kadi ya CCM Bw. Sambwee Mwalyego Shitambala aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha CCM baada ya kukihama rasmi CHADEMA katika makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo mchana.

No comments:

Post a Comment