Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Saturday, August 6, 2011

Hawa ndio wafanyabiashara wa mafuta nchini wakivutana na Serikali juu ya bei mpya !

Wako Tanzania kwa kazi moja tu, kuchuma. Na kwa bahati mbaya sana tuna serikali legelege, hivyo basi imenywea kwa "wachakachuaji" wasiotaka kushusha bei.
serikali legelege ilishindwa kuwadhibiti wasichakachue mafuta sasa inaelekea kushindwa kuwadhibiti wachakachuaji ili washushe bei ya mafuta.

No comments:

Post a Comment