Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Monday, November 7, 2011

PSPF YAKABIDHI MSAADA KWA KIKUNDI CHA WALEMAVU CHANG'OMBE



Ofisa Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PSPF), Bi.Fatma Elhady (kushoto), akimkabidhi msaada wa hundi ya shilingi milioni 1.5 Bi.Dominion Apiyo wa Kikundi cha Walemavu cha Little cha Chang'ombe wilayani Temeke ,Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment