Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Sunday, December 4, 2011

Mafuriko huko Monduli yaleta madhara vifo na uharibifu mkubwa..!


mafuriko huko Monduli yameleta madhara makubwa sana katika makazi ya watu na mazao yao na wengine kupoteza maisha.

No comments:

Post a Comment