Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Saturday, February 18, 2012

Happy Nenga ilivyotaka kutumaliza


Mungu ni mkubwa sana na bado anapenda niishi, hii ajali ckutegemea kama kuna mtu angepona, nilikuwa na kaka yangu tunatoka mbeya kuja dar siku hiyo... tumefika mitaa ya inyara (Tazama Pipeline) basi la ngangaline lilisimama njiani likipakia abiria na sisi tulikuwa kwenye mwendo wa kasi sana akashindwa kuova take ikabidi aliweke pembeni kwa kuseleleka na kukaa mkao huo..... but we are alive.

No comments:

Post a Comment