Karibuni NL Internet C@fe kwa huduma safi ya internet yenye kasi ya 5mbps kupandisha na kushusha.Tupo Tabata CCM,mkabala na kituo cha mafuta cha OILCOM.

Wednesday, November 10, 2010

ingekuwa Vyema Kama Six angeendelea kuwa Spika

Samwel Sitta Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki na Spika wa bunge lililopita ambaye pia anagombea nafasi hiyo tena mwaka huu akipongezana na Mbunge kijana wa jimbo la Kawe HalmaMdee katika viwanja vya Bunge
Mbunge wa Jimbo la Urambo mashariki Samwel Sitta akisalimiana na Mbunge wa Same Mashariki Anna Kilango.

No comments:

Post a Comment