Saturday, December 24, 2011
Saturday, December 10, 2011
Ajali Mlima Nyoka
Sunday, December 4, 2011
Mafuriko huko Monduli yaleta madhara vifo na uharibifu mkubwa..!
Rais Jakaya Kikwete Akabidhi Mwenge Wa Uhuru Jeshi La Wananchi Wa Tanzania ili Upandishwe Kwenye Kilele Cha Mlima Kilimanjaro
Monday, November 7, 2011
PSPF YAKABIDHI MSAADA KWA KIKUNDI CHA WALEMAVU CHANG'OMBE
huu Unyama wa hawa wanao amini imani potofu utakwisha lini? kwetu kuna Serikali kweli?
Msichana Kulwa Lusana ( 16 ) mwenye ulemavu wa ngozi (Albino ) mkazi wa kijiji cha Mbizi, Kata mpya ya Mbega iliyozaliwa kutoka Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga, akiwa amelazwa katika wodi ya majeruhi katika hospitali ya wilaya ya Kahama baada ya kufanyiwa ukatili na unyama kwa kukatwa mkono wake wa kulia saa saba usiku wa kuamikia Jumamosi, Oktoba 22 mwaka huu akiwa amelala nyumbani kwa wazazi wake na watu wasiojulikana ambao waliondoka na mkono wake.
Friday, September 16, 2011
Chadema wamkamata Mkuu wa Wilaya Igunga

Msafara wa Chadema ulifika katika eneo la kampeni saa 8.00 mchana na kabla mkutano haujaanza, Meneja Kampeni wa chama hicho, Sylivester Kasulumbai, aliwaambia waandishi wa habari kuwa mkuu wa wilaya ya igunga alikuwa akifanya kikao cha ndani katika eneo hilo kinyume na taratibu, hivyo wanakwenda kumshughulikia.
Kasulumbai ambaye ni Mbunge wa Maswa Mashariki akiwa na Mbunge wa Viti Maalum, Susan Kiwanga, baadhi ya wananchi na vijana wao, walifika katika ofisi ya Mtendaji wa Kata kulikokuwa kunafanyika mkutano huo na kuanza kuhoji aliko Mkuu huyo wa Wilaya.
Mmoja wa wananchi alimnyooshea kidole mama ambaye alikuwa amekaa mbele na kusema; “..yule ndiye Mkuu wa Wilaya”.Kundi hilo la vijana na viongozi wa Chadema, waliingia katika ukumbi huo na kumtoa nje mama huyo huku wakimtaka aeleze kwa nini anafanya vikao vya ndani katika Kata hiyo wakati anajua kuwa chama hicho kilikuwa na mkutano katika eneo hilo.
Kitendo hicho kilizua purukushani na kutokuelewana kati ya waliokuwa kwenye mkutano wa ndani na viongozi wa Chadema, jambo lililovuta umati mkubwa wa watu.
Maelezo ya DC
Baadhi ya vijana wa Chadema walikuwa wamewashikilia watu waliokuwa wakishiriki mkutano huo huku mama huyo ,gonga hapa kusoma zaidi
Saturday, August 27, 2011
World pictures of the decade (2000-2005) part II
Saddam Hussein is filmed after his capture near his home town of Tikrit in Iraq, December 14, 2003.
Drowned African immigrants lie on the coast in the Spanish Canary Islands off the coast of Morocco on August 1, 2003.
A mourner wearing a SARS mask hides under an umbrella during a funeral in Hong Kong, May 22, 2003.
US Marine Kirk Dalrymple watches as a statue of Saddam Hussein falls in central Baghdad, April 9, 2003.
People gather to get water from a huge well in Natwarghad, India, June 1, 2003.
Judge Robert Rosenberg looks at a questionable election ballot following the 2000 US presidential elections, November 23, 2002.
Russian special forces remove hostages from a theatre which Chechen guerrillas had taken over in Moscow, October 26, 2002.
LEFT: Michael Jackson holds a child out of a window at a Berlin hotel, November 19, 2002. RIGHT: Brazil's Cafu lifts the 2002 World Cup trophy after his team win the final against Germany in Japan, June 30, 2002.
A girl screams as an aftershock hits the already devastated village of Nahrin in Afghanistan, March 27, 2002.
A Turkey named Liberty surprises President George W Bush at the annual turkey pardoning event at the White House, November 19, 2001
A woman shows her face in public for the first time after five years of Taliban Sharia law in Kabul, Afghanistan, November 14, 2001.
Smoke rises from the remains of New York's World Trade Centre, September 12, 2001.
An American flag flies near the base of the destroyed World Trade Centre in New York, September 11, 2001.
World pictures of the decade (2000-2005) Part I
Riot police storm past a dead protestor, shot and killed by Carabiniere, in central Genoa, July 20, 2001.
A boy sits among women during morning prayers in a mosque in Tehran, Iran, May 24, 2001.
Palestinians run to escape Israeli soldiers firing teargas, during clashes in the Gaza Strip, October 20, 2000.
Flames come from the Air France Concorde seconds before it crashes in Gonesse near Paris Roissy Airport, July 25, 2000.
Israeli Prime Minister Ehud Barak (R) jokingly pushes Palestinian PresidentYasser Arafat into a cabin, watched by US President Bill Clinton, at Camp David, Maryland, July 11, 2000.
An Israeli policeman and a Palestinian scream at each other in the Old City of Jerusalem, October 13, 2000.
Zimbabwean farmer Tommy Bayley rides towards a temporary shelter ahead of villagers who invaded his farm near Harare.mnh! Only in Tanzania
Hii taswira inaonyesha mentality ya kunyenyekea (subservience) ya Mwafrika wa kawaida wa Kitanzania. Ni utaahira usiyo kifani ambao nadhani unatokana na jadi potofu za Watanzania wengi kutii mamlaka iwe baba, mama, mchungaji, padri, sheikh, chifu hadi rais blindly bila kujali kwamba wana makosa au kasoro zilizo wazi
Subscribe to:
Posts (Atom)
















